Kiongozi wa kundi
la wapiganaji la Taliban amezungumza kwa mara ya kwanza tangu
kuchaguliwa kwake mwezi mei, ambapo ameitaka Marekani kuondoka
Afghanistan.
Maulawi Haibatullah Akhundzada amesema uwepo wa
Marekani na washirika wake nchini Afghanistan hautaathiri juhudi za
makundi ya kijihadi.
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ConversionConversion EmoticonEmoticon