DONEDEAL: Ngassa kamaliza ubishi kasaini Uarabuni

Inawezekana wewe ni mmoja kati ya watu wanaotaka kujua winga mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania aliyekuwa anaichezea klabu ya Free State ya Afrika Kusini Mrisho Ngassa atajiunga na klabu gani baada ya kuvunja mkataba na Free State.
Septemba 21 2016 Mrisho Ngassa ambaye wengi walikuwa wakihisi kuwa atajiunga na klabu ya Tanzania baada ya kuvunja mkataba wake wa miaka minne na Free State, amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuichezea Fanja SC ya Oman.

Inawezekana wewe ni mmoja kati ya watu wanaotaka kujua winga mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania aliyekuwa anaichezea klabu ya Free State ya Afrika Kusini Mrisho Ngassa atajiunga na klabu gani baada ya kuvunja mkataba na Free State.
Septemba 21 2016 Mrisho Ngassa ambaye wengi walikuwa wakihisi kuwa atajiunga na klabu ya Tanzania baada ya kuvunja mkataba wake wa miaka minne na Free State, amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuichezea Fanja SC ya Oman.



Previous
Next Post »