Dirisha la usajili limefungwa lakini Jose Mourinho bado anamuhitaji staa huyu


Usiku wa August 31 kuamkia September 1 ndio siku ambayo dirisha la usajili kwa vilabu vya Ulaya lilifungwa rasmi, licha ya dirisha la usajili kufungwa na kuona baadhi ya rekodi za usajili zikivunjwa, kocha wa Man United Jose Mourinho anaripotiwa kuanza kuandaa mipango ya usajili ya msimu ujao.
2902
Antoine Griezmann
Stori kutoka The Guardian na Bleacher report moja kati ya headlines ilizoamka nazo leo ni pamoja na Jose Mourinho kuhusishwa tayari kumuweka kwenye mipango yake mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa anayeichezea klabu ya Atletico Madrid Antoine Griezmann.
 
Previous
Next Post »