Video 7 za bongo zilizopata airtime Trace TV , Sound City & MTV Base

Ni fahari kubwa kuona ngoma za nyumbani zinapata airtime katika vituo vikubwa vya TV za kimataifa kama Trace TV na Sound City leo August 31 2016 wasanii walioingia kwenye list hii ni Diamond Platnumz,Vanessa Mdee, Ben Pol,Joh Makini, Mayunga na chegge.
Mtu wangu nakusogezea ngoma 7 za bongo fleva zimepewa airtime kwenye vituo hivi vikubwa vya kimataifa pia usisahau kuniachia comment yako hapa chini mtu wangu.
20160831_203710
20160831_222846
20160831_221845
20160831_204115
20160831_221556
20160831_203736
20160831_230904
20160831_224057
20160831_224812
Previous
Next Post »