VIDEO: Jay Moe ana haya machache kwa wasanii wa kizazi kipya

Jay Moe ni miongoni mwa ma rapper wa longtime kwenye tasnia ya Bongo Fleva, sasa leo ana haya machache kwa wasanii wa kizazi kipya cha Bongo Fleva.
Staa huyo aliipa heshima millardayo.com & Ayo TV na kuyaongea>>>Sasa hivi nahitaji wadogo zangu wanipe support mimi yaani kazi zangu ile brand yangu ya So Famous Entertainment kwahiyo nataka hiyo Label tuipe nguvu ili mwendelezo uwe mzuri  na mimi niweze kupasi kijiti kwa mtu mwingine’

Previous
Next Post »