Maamuzi haya yamedhihirisha Gurdiola kutomuhitaji Toure Man City

Kiungo wa kimataifa wa Ivory Coast ambaye anaichezea klabu ya manchester City ya England Yaya Toure ni rasmi safari ya kuondoka katika kikosi cha Man City imewadia hii ni baada ya ujio wa Pep Guardiola.
Leo September 2 2016 kocha wa Man City Pep Gurdiola ameonesha dhamira ya wazi ya kutomuhitaji Toure, hiyo ni baada ya kutoka list ya wachezaji 21 wa Man City watakaoshiriki michuano ya ligi ya mabingwa Ulaya msimu 2016/2017 kukosekana kwa jina la Toure.
Previous
Next Post »